Ezekiel 37:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Navyo vijiti, ambavyo uliandika juu yake, vitakuwa mkononi mwako mbele ya macho yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Navyo vijiti, ambavyo uliandika juu yake, vitakuwa mkononi mwako mbele ya macho yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Ukiwa mbele yao huku umeshika vijiti ulivyoandika juu yake,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Navyo vijiti, ulivyoviandika, sharti viwe mkononi mwako machoni pao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Navyo vijiti, ambavyo uliandika juu yake, vitakuwa mkononi mwako mbele ya macho yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utakamata vile vijiti ulivyoandika juu yake katika mukono wako kwa jinsi kila mutu apate kuona,