Ezekiel 39:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyosafisha nchi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Pia mji uitwao Hamona utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyotakasa nchi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huko kutakuwa pia mji utakaoitwa Hamona. Ndivyo watakavyoisafisha nchi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hata mji utakaokuwako utaitwa Hamona (Wingi wa Watu). Hivyo ndivyo, watakavyoundoa huo uchafu wa hiyo nchi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena, Hamona litakuwa jina la mji. Hivyo ndivyo watakavyosafisha nchi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Huko kutakuwa vilevile muji utakaoitwa “Muji wa watu wengi”. Ndivyo watakavyoisafisha inchi.