Ezekiel 39:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Niligeuka wasinione, nikawatenda kulingana na uchafu na makosa yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kadiri ya uchafu wao, kwa kadiri ya makosa yao, ndivyo nilivyowatenda, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Niligeuka wasinione, nikawatenda kulingana na uchafu na makosa yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kadiri ya uchafu wao, kwa kadiri ya makosa yao, ndivyo nilivyowatenda, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Niligeuka wasinione, nikawatenda kulingana na uchafu na makosa yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivyo, walivyojipatia uchafu kwa mapotovu yao, ndivyo, nilivyowafanyizia nilipouficha uso wangu, wasiuone.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kadiri ya uchafu wao, kwa kadiri ya makosa yao, ndivyo nilivyowatenda, nami nikawaficha uso wangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Niligeuka wasipate kuniona nikawatendea kulingana na uchafu na makosa yao.