Ezekiel 39:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema Bwana Mungu Mwenyezi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema BWANA Mwenyezi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema bwana Mwenyezi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Utafia porini. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Utaanguka penye mapori, kwani mimi nimeyasema; ndivyo, asemavyo Bwana Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Utaanguka katika uwanda; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema Bwana MUNGU.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Utakufia katika pori. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.–