Ezekiel 40:20 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akapima urefu na upana wa lango linaloelekea kaskazini, kukabili ukumbi wa nje.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, yule mtu akapima urefu na upana wa lango la upande wa kaskazini wa ua wa nje.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nalo jengo la lango la ua wa nje lililoelekea kaskazini akalipima urefu wake na upana wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nalo lango la ua wa nje, lililoelekea kaskazini, akalipima urefu wake, na upana wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha, yule mutu akapima urefu na upana wa mulango wa upande wa kaskazini na kiwanja cha inje.