Ezekiel 40:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaupima na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akapima baraza ya njia ya lango,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaupima na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yule mtu akakipima pia chumba hicho, nacho kilikuwa na kina mita 4.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaupima ukumbi wa lile jengo la lango wa upande wa nyumbani, nao ulikuwa mwanzi mmoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaupima na ukumbi wa lango lililoielekea nyumba, mwanzi mmoja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule mutu akakipima vilevile chumba hicho, nacho kilikuwa na upana wa metre ine.