Ezekiel 42:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ambako ukuta wa nje unaanzia. Kwenye upande wa kusini kulikuwa na jengo lingine sawa na lile lingine si mbali na jengo la upande wa magharibi mwishoni mwa hekalu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena palikuwa na vyumba katika unene wa ukuta wa ua, kuukabili upande wa mashariki, kupaelekea mahali palipotengeka, na kulielekea jengo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ambako ukuta wa nje unaanzia. Kwenye upande wa kusini kulikuwa na jengo lingine sawa na lile lingine si mbali na jengo la upande wa magharibi mwishoni mwa hekalu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena palikuwa na vyumba katika unene wa ukuta wa ua, kuukabili upande wa mashariki, kupaelekea mahali palipotengeka, na kulielekea jengo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ambako ukuta wa nje unaanzia. Kwenye upande wa kusini kulikuwa na jengo lingine sawa na lile lingine si mbali na jengo la upande wa magharibi mwishoni mwa hekalu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sawasawa na hicho kitalu kilichokuwa hapo uani, lakini upande wa kusini, palikuwa na vyumba vilivyopaelekea hapo palipokatazwa watu na hapo penye jengo lile.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena palikuwa na vyumba katika unene wa ukuta wa ua, kuukabili upande wa mashariki, kupaelekea mahali palipotengeka, na kulielekea jengo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ambako ukuta wa inje unaanzia. Kwenye upande wa kusini kulikuwa jengo lingine sawa na lile lingine, si mbali na jengo la upande wa magaribi kwa mwisho wa hekalu.