Ezekiel 42:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya yule mtu kulipima eneo la ndani la nyumba ya Mwenyezi-Mungu, alinitoa nje kupitia lango la mashariki na kulipima eneo la nje.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi, alipokuwa amekwisha kuipima nyumba ya ndani, akanileta nje, kwa njia ya lango lililokabili upande wa mashariki, akalipima pande zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya yule mtu kulipima eneo la ndani la nyumba ya Mwenyezi-Mungu, alinitoa nje kupitia lango la mashariki na kulipima eneo la nje.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi, alipokuwa amekwisha kuipima nyumba ya ndani, akanileta nje, kwa njia ya lango lililokabili upande wa mashariki, akalipima pande zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya yule mtu kulipima eneo la ndani la nyumba ya Mwenyezi-Mungu, alinitoa nje kupitia lango la mashariki na kulipima eneo la nje.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kuipima Nyumba upande wa ndani, akanitoa humo na kunipeleka nje penye jengo la lango lililoelekea maawioni kwa jua, akaipima pande zote kuizunguka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi, alipokuwa amekwisha kuipima nyumba ya ndani, akanileta nje, kwa njia ya lango lililokabili upande wa mashariki, akalipima pande zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yule alipokwisha kupima eneo la ndani la nyumba ya Yawe, alinitoa inje kupitia mulango wa mashariki na kulipima eneo la inje.