Ezekiel 42:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jengo hili lililokuwa upande wa kaskazini lilikuwa na urefu wa mita 50 na upana wa mita 25.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kukabili urefu wa dhiraa mia palikuwa na mlango wa kaskazini, na upana wake ni dhiraa hamsini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jengo hili lililokuwa upande wa kaskazini lilikuwa na urefu wa mita 50 na upana wa mita 25.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kukabili urefu wa dhiraa mia moja palikuwa na mlango wa kaskazini, na upana wake ni dhiraa hamsini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jengo hili lililokuwa upande wa kaskazini lilikuwa na urefu wa mita 50 na upana wa mita 25.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upande wa mbele urefu wake ulikuwa mikono mia hapo pa kuingia upande wa kaskazini, nao upana wake ulikuwa mikono hamsini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kukabili urefu wa dhiraa mia palikuwa na mlango wa kaskazini, na upana wake ni dhiraa hamsini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jengo hili lililokuwa upande wa kaskazini lilikuwa na urefu wa metre makumi tano na upana wa metre makumi mbili na tano.