Ezekiel 42:9 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Chini ya vyumba hivi kulikuwa na njia ya kupitia tokea upande wa mashariki mwishoni mwa jengo, ikiwa mtu anaingia tokea ua wa nje
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na toka chini ya vyumba vile palikuwa na mahali pa kuingilia upande wa mashariki, mtu aviingiavyo toka ua wa nje.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Chini ya vyumba hivi kulikuwa na njia ya kupitia tokea upande wa mashariki mwishoni mwa jengo, ikiwa mtu anaingia tokea ua wa nje
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na toka chini ya vyumba vile palikuwa na mahali pa kuingilia upande wa mashariki, mtu aviingiavyo toka ua wa nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Chini ya vyumba hivi kulikuwa na njia ya kupitia tokea upande wa mashariki mwishoni mwa jengo, ikiwa mtu anaingia tokea ua wa nje
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Chini yao hivyo vyumba palikuwa pa kuingia upande wa maawioni kwa jua, mtu akitoka katika ua wa nje.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na toka chini ya vyumba vile palikuwa na mahali pa kuingilia upande wa mashariki, mtu aviingiavyo toka ua wa nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Chini ya vyumba hivi kulikuwa njia ya kupitia tokea upande wa mashariki kwa mwisho wa jengo, ikiwa mutu anaingia tokea kiwanja cha inje