Ezekiel 43:1 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha, yule mtu akanipeleka kwenye lango linaloelekea mashariki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaniongoza tena kwenda penye lile lango lililoielekea njia ya maawioni kwa jua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kisha akanileta mpaka langoni, yaani, lango lile lielekealo upande wa mashariki;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha, yule mutu akanipeleka kwenye mulango unaoelekea upande wa mashariki.