Ezekiel 43:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Vipimo vya madhabahu, vitakuwa vilevile kama vipimo vya hekalu. Kuuzunguka msingi wa madhabahu, kutakuwa na mfereji wenye kina cha sentimita 50 na upana wa sentimita 50, pamoja na ukingo wenye kina cha sentimita 25.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani dhiraa moja na nyanda nne: Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja, na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ni hivi; (dhiraa ni dhiraa na shubiri); tako lake ni dhiraa moja, na upana wake dhiraa moja; na pambizo yake karibu na ncha yake pande zote, shubiri moja; na hili litakuwa tako la madhabahu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Vipimo vya madhabahu, vitakuwa vilevile kama vipimo vya hekalu. Kuuzunguka msingi wa madhabahu, kutakuwa na mfereji wenye kina cha sentimita 50 na upana wa sentimita 50, pamoja na ukingo wenye kina cha sentimita 25.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne: Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne: Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ni hivi; (dhiraa ni dhiraa na shubiri); kitako chake ni dhiraa moja, na upana wake dhiraa moja; na pambizo yake karibu na ncha yake pande zote, shubiri moja; na hiki kitakuwa kitako cha madhabahu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Vipimo vya madhabahu, vitakuwa vilevile kama vipimo vya hekalu. Kuuzunguka msingi wa madhabahu, kutakuwa na mfereji wenye kina cha sentimita 50 na upana wa sentimita 50, pamoja na ukingo wenye kina cha sentimita 25.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hivi ndivyo vipimo vyake pa kumtambikia Bwana vya kupapima kwa mikono, mkono ukiwa mkono wa mtu na upana wa shibiri: msingi ni mkono mmoja, nao upana wake ni mkono mmoja, tena pembeni pake panazunguka kitalu, urefu wake ni shibiri moja. Nao huu ndio urefu wa juu wa hapo pa kutambikia:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ni hivi; (dhiraa ni dhiraa na shubiri); tako lake ni dhiraa moja, na upana wake dhiraa moja; na pambizo yake karibu na ncha yake pande zote, shubiri moja; na hili litakuwa tako la madhabahu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vipimo vya mazabahu, vitakuwa vilevile kama vipimo vya hekalu. Kutakuwa musingi wenye urefu wa sentimetre makumi tano na upana wa sentimetre makumi tano kuzunguka musingi wa mazabahu, pamoja na ukingo wenye urefu kuenda juu wa sentimetre makumi mbili na tano.