Ezekiel 44:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kuhani ye yote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kuhani yeyote asinywe divai anapoingia ua wa ndani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena wote walio watambikaji wasinywe mvinyo watakapouingia ua wa ndani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala kuhani awaye yote hatakunywa mvinyo, aingiapo katika ua wa ndani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuhani yeyote asikunywe divai anapoingia katika kiwanja cha ndani.