Ezekiel 44:26 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mmoja wao akisha jitia unajisi, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Atakapokwisha kueuliwa, wamhesabie tena siku saba!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akiisha kutakaswa watamhesabia siku saba.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mumoja wao akijichafua, atakaa na hali hiyo kwa muda wa siku saba. Kisha atakuwa safi.