Ezekiel 47:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilipofika huko niliona miti mingi sana kwenye kingo za mto.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana, upande huu na upande huu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilipofika huko niliona miti mingi sana kwenye kingo za mto.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana, upande huu na upande huu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilipofika huko niliona miti mingi sana kwenye kingo za mto.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Niliporudi mara nikaona ukingoni penye mto huo miti mingi sana huku na huko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana, upande huu na upande huu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nilipofika huko niliona miti mingi sana kwenye kingo za muto.