Ezekiel 48:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wafanyakazi wa mjini wa kabila lolote la Israeli wanaweza kulima katika eneo hilo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hao watumikiao mle mjini watakuwa wa mashina yote ya Isiraeli, nao ndio watakaopalima hapo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hao wafanyao kazi mjini, wa kabila zote za Israeli, watailima nchi hiyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watumishi wote katika muji wa kabila lolote la Waisraeli wanaweza kulima katika eneo hilo.