Ezekiel 7:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ukatili unaendelea kuwa mbaya zaidi. Hakuna hata mmoja wenu atakayebaki, wala vitu mlivyojirundikia kwa wingi au utajiri wenu; hatakuwako mtu mwenye heshima miongoni mwenu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu waovu. Hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi hilo: hakuna utajiri wao utabaki, wala chochote cha thamani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Udhalimu umeinuka, ukawa fimbo ya uovu; hapana mtu atakayesalia miongoni mwao, wala katika jamii yao, wala kitu katika utajiri wao; wala hakutakuwa kutukuka kati yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ukatili unaendelea kuwa mbaya zaidi. Hakuna hata mmoja wenu atakayebaki, wala vitu mlivyojirundikia kwa wingi au utajiri wenu; hatakuwako mtu mwenye heshima miongoni mwenu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Udhalimu umeinuka, ukawa fimbo ya uovu; hapana mtu atakayesalia miongoni mwao, wala katika jamii yao, wala kitu katika utajiri wao; wala hakutakuwa kutukuka kati yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ukatili unaendelea kuwa mbaya zaidi. Hakuna hata mmoja wenu atakayebaki, wala vitu mlivyojirundikia kwa wingi au utajiri wenu; hatakuwako mtu mwenye heshima miongoni mwenu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ukorofi umeinuka kuwa fimbo ya kuwapiga wasiomcha Mungu; hakuna chao kilichosalia, wala cha mali zao, wala cha urembo wao, wala cha utukufu wao, waliokuwa nao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Udhalimu umeinuka, ukawa fimbo ya uovu; hapana mtu atakayesalia miongoni mwao, wala katika jamii yao, wala kitu katika utajiri wao; wala hakutakuwa kutukuka kati yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mateso makali yanaendelea kuwa mubaya zaidi. Hakuna hata mumoja kati yenu atakayebaki, wala vitu mulivyojilundikia kwa wingi au utajiri wenu; hakutakuwa mutu mwenye heshima kati yenu.