Ezekiel 7:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mtu, mikono yake itakuwa dhaifu na magoti yake yatakuwa maji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mikono yote italegea, nayo magoti yote yatayeyuka kuwa kama maji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mikono yote itakuwa dhaifu, na magoti yote yatalegea kama maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mikono ya kila mutu itakuwa zaifu na magoti yake yataregea kabisa.