Ezekiel 8:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akasema tena, “Utawaona wakifanya mambo yaliyo chukizo zaidi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena akaniambia, “Bado utaona machukizo makubwa zaidi wanayotenda.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaniambia: Utaona tena mengine yaliyo machukizo makubwa zaidi, hao wanayoyafanya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaniambia tena, Utaona tena machukizo makubwa mengine wanayoyatenda.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tena akaniambia: Utaona tena machukizo makubwa zaidi wanayotenda.