Ezekiel 8:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaniambia, “Je, mwanadamu, unaliona hili? Utayaona mambo yanayochukiza hata zaidi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akaniambia: “Wewe mtu, umeyaona hayo? Bado utaona machukizo mengine makubwa kuliko hayo.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaniambia: Umeyaona, mwana wa mtu? Utaona tena mengine yaliyo machukizo mabaya kuliko haya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akaniambia: Wewe mwanadamu, umeyaona hayo? Utaona tena machukizo mengine makubwa kuliko hayo.