Ezra 10:23 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Miongoni mwa Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Walawi: Yozabadi, Shimei, Kelaya (aliyejulikana pia kama Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena kwa Walawi: Yozabadi na Simei na Kelaya aitwaye Kelita, Petaya, Yuda na Eliezeri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na wa Walawi; Yozabadi, na Shimei, na Kelaya (ndiye Kelita), na Pethahia, na Yuda, na Eliezeri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kati ya Walawi kulikuwa: Yozabadi, Simei, Kelaya (aliyejulikana pia kwa jina la Kelita), Petahia, Yuda na Eliezeri.