Ezra 2:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia), tisini na nane (98);
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wana wa Ateri, wa wana wa Hezekia, tisini na wanane.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wa Ateri (kwa Hezekia) — 98
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wana wa Ateri, wana wa Hezekia, tisini na wanane.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wa ukoo wa Ateri, yaani Hezekia: 98;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
wana wa Ateri walio wa Hizikia 98;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wana wa Ateri, wa wana wa Hezekia, tisini na wanane.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wa ukoo wa Ateri, ndiye Hezekia: makumi kenda na wanane;