Ezra 8:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tulipofika Yerusalemu, tulipumzika kwa muda wa siku tatu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tulipofika Yerusalemu tukapumzika siku tatu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tukafika Yerusalemu, tukakaa huko muda wa siku tatu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tulipofika Yerusalema, tukapumzika kwa muda wa siku tatu.