Galatians 1:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hayo ninayowaandikia, angalieni, mbele za Mungu, sisemi uongo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mungu anajua kuwa hakuna ninachowaandikia kisicho cha kweli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hayo ninayowaandikia, angalieni, mbele za Mungu, sisemi uongo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Haya ninayowaandikieni, Mungu anajua; sisemi uongo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini haya, ninayowaandikia, tazameni, Mungu anayajua, ya kuwa sisemi uwongo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hayo ninayowaandikia, angalieni, mbele za Mungu, sisemi uongo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ninaapa mbele ya Mungu kuwa sisemi uongo katika maneno haya ninayowaandikia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na bayo ninayowaandikieni, angalieni, mbele za Mungu, sisemi uwongo.