Galatians 2:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakatuomba lakini kitu kimoja: Tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Walichotuomba ni kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya kulifanya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakatuomba jambo moja tu, ya kwamba tukumbuke kuwahudumia waaminio walio maskini. Na kwa hakika hili lilikuwa jambo nililojitahidi kufanya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wakatuomba lakini kitu kimoja: tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakatuomba lakini kitu kimoja: tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Walichotuomba ni kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya kulifanya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Walichotuomba ni kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya kulifanya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo nilikuwa na bidii kulifanya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakatuomba lakini kitu kimoja: Tuwakumbuke maskini; jambo ambalo nimekuwa nikijitahidi kutekeleza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walitutakia hilo moja tu, tuwakumbuke maskini wao; nami nimejipingia kulitimiza hili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini kitu kimoja walichotuomba ni kukumbuka wamasikini wa makanisa yao, nami nimefanya vile kwa bidii.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
illa neno moja walitutakia, tuwakumbuke maskini; na neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.