Galatians 3:20 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mpatanishi anahitajika pale ambapo upande mmoja unapaswa kufikia mapatano. Lakini Mungu ambaye ni mmoja, hakumtumia mpatanishi alipompa ahadi Ibrahimu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mpatanishaji siye wa mmoja tu, lakini Mungu ni mmoja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini ikiwa jambo linaelekea mutu mumoja tu, si lazima kuwa na mupatanishi; na Mungu ni mumoja tu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Aliye mjumbe si mjumbe wa mmoja; bali Mungu ni mmoja.