Galatians 5:24 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wale walio na Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wote walio wa Al-Masihi Isa wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wale walio wa Kristo Yesu wameusulubisha udhaifu wao wa kibinadamu pamoja na tamaa zake za dhambi na zile za mwili. Wameachana na utu wao wa kale wenye hisia za ubinafsi na uliotaka kufanya mambo maovu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wale walio wa Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wale walio na Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wote walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wote walio wa Al-Masihi Isa wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wale walio na Kristo wameisulubisha hali yao ya kidunia pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wa Kristo Yesu huiua miili na kuiwamba msalabani pamoja na mawazo mabaya na tamaa.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao watu wa Kristo Yesu wameua hali yao ya kimutu pamoja na vifungo vyao vyote na tamaa zote mbaya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nao walio watu wa Kristo Yesu wameusulibisha niwili pamoja na mawazo mabaya na tamaa mbaya.