Galatians 6:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana katika Al-Masihi Isa, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Haijalishi kwamba mtu ametahiriwa au hajatahiriwa. Kinachojalisha ni uumbaji mpya wa Mungu katika Kristo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana katika Kristo Yesu kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana katika Al-Masihi Isa, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutotahiriwa, ila kiumbe kipya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani ukiwa naye Kristo Yesu, kutahiriwa siko, wala kutotahiriwa siko, ila kuwa kiumbe kipya ndiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kutahiriwa au kutokutahiriwa hakufai kitu; kitu cha lazima ni kuwa kiumbe kipya.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya.