Galatians 6:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana kila mmoja anapaswa kuubeba mzigo wake mwenyewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Maana sisi sote tunawajibika kwa yale tunayofanya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana kila mmoja anapaswa kuubeba mzigo wake mwenyewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana, kila mtu atauchukuwa mzigo wake mwenyewe.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana kila mmoja anapaswa kuubeba mzigo wake mwenyewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kila mutu anapaswa kubeba muzigo wake mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana killa mtu atachukua mzigo wake mwenyewe.