Galatians 6:7 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ikiwa mnadhani mnaweza kumdanganya Mungu, mtakuwa mnajidanganya wenyewe. Mtavuna yale mnayopanda.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Msidanganyike, Mungu habezwi! Kwani mtu aliyoyapanda, ndiyo, atakayoyavuna.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Musidanganyike: Mungu hachekelewi. Chochote mutu atakachopanda, ndicho atakachovuna.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.