Genesis 1:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji, igawe maji na maji.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mwenyezi Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akasema: Na uwe utando katikati ya maji, uyatenganishe maji na maji!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akasema: “Anga likuwe katikati ya maji, litenge maji sehemu mbili.”