Genesis 10:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. (Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye watu wa jamii mbalimbali za Kanaani walitawanyika,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
na Mwarwadi na Msemari na Mhamati. Halafu koo zao Wakanaani zikasambaa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Waarwadi, Wazemari na Wahamati. Na nyuma watu wa jamaa mbalimbali za Kanana wakatawanyika,