Genesis 10:20 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hao ndio wazawa wa Hamu kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa ndio wana wa Hamu, walivyokuwa wenye koo zao na miseo yao, tena ndivyo, mataifa yao walivyokaa katika nchi zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hao ndio wazao wa Hamu kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.