Genesis 11:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Arfaksadi alipokuwa ameishi miaka thelathini na tano, akamzaa Shela.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Arpakisadi alipokuwa mwenye miaka 35 akamzaa Sela.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aripakisadi alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu na mitano, akazaa Sela.