Genesis 11:14 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shela alipokuwa na umri wa miaka 30, alimzaa Eberi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shela alipokuwa ameishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shela alipokuwa na umri wa miaka 30, alimzaa Eberi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shela alipokuwa na umri wa miaka 30, alimzaa Eberi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Sela alipokuwa mwenye miaka 30 akamzaa Eberi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sela alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu, alizaa Eberi.