Genesis 11:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Eberi alipokuwa ameishi miaka thelathini na nne, akamzaa Pelegi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Eberi alipokuwa na umri wa miaka 34, alimzaa Pelegi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Eberi alipokuwa mwenye miaka 34 akamzaa Pelegi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Eberi akaishi miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Eberi alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu na mine, akazaa Pelegi.