Genesis 11:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Sarai hakuwa na mtoto kwa sababu alikuwa tasa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Sarai alikuwa mgumba, asipate mtoto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sarai hakukuwa na mutoto kwa sababu alikuwa tasa.