Genesis 11:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tera aliishi miaka mia mbili na mitano (205), akafa huko Harani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tera alifariki huko Harani akiwa na umri wa miaka 205.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo siku zake Tera zilikuwa miaka 205, naye akafa huko Harani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na mitano; Tera akafa katika Harani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Tera akakufia kule Harani akiwa na umri wa miaka mia mbili na mitano.