Genesis 12:15 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maofisa wa Farao walipomwona Sarai, wakamsifia kwa Farao. Basi, Sarai akapelekwa nyumbani kwa Farao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maofisa wa Farao walipomwona Sarai, wakamsifia kwa Farao. Basi, Sarai akapelekwa nyumbani kwa Farao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akachukuliwa kwenda kwenye jumba lake la kifalme.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akapelekwa nyumbani mwa Farao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maofisa wa Farao walipomwona Sarai, wakamsifia kwa Farao. Basi, Sarai akapelekwa nyumbani kwa Farao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakuu wa Farao walipomwona, wakamsifia Farao; ndipo, huyo mwanamke alipochukuliwa kukaa nyumbani mwa Farao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakubwa wa mufalme wa Misri walipomwona Sarai, wakamusifia kwa mufalme. Basi, Sarai akapelekwa ndani ya nyumba ya yule mufalme.