Genesis 13:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Abramu alikuwa tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huo, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na mifugo, fedha na dhahabu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Aburamu alikuwa mwenye mali nyingi sana za makundi na za fedha na za dhahabu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati ule, Abramu alikuwa ametajirika sana. Alikuwa na makundi ya nyama, feza na zahabu.