Genesis 14:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, wale walioshinda, wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora, kadhalika na mazao yao, wakaenda zao.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, wakaenda zao.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, wale walioshinda, wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora, kadhalika na mazao yao, wakaenda zao.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, wakaenda zao.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, wale walioshinda, wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora, kadhalika na mazao yao, wakaenda zao.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, walipoyateka mapato yote ya Sodomu na ya Gomora, navyo vilaji vyao vyote, wakaenda zao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakachukua mali zote za Sodoma na Gomora na vyakula vyao vyote, wakaenda zao.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, wale walioshinda, wakanyanganya mali yote ya Sodoma na Gomora, hata na mazao yao, wakajiendea.