Genesis 14:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
na Wahori katika nchi ya vilima ya Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na Wahori huko mlimani kwao Seiri, wakawafukuza hadi Elparani, mpakani mwa jangwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nao Wahori milimani kwao Seiri mpaka Eli-Parani ulioko upande wa nyikani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Wahori katika mlima wao Seiri, mpaka Elparani iliyo karibu na jangwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na Wahori kule kwenye mulima wa Seiri, wakawafukuza mpaka Eliparani, kwa mupaka wa jangwa.