Genesis 15:11 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na tai walipoijia hiyo mizoga, Abramu akawa anawafukuza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ngusu walipoishukia ile mizoga, Aburamu akawaamia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata tai walipotua juu ya mizoga Abramu akawafukuza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na tai waliposhuka juu ya mizoga hiyo, Abramu akakuwa anawafukuza.