Genesis 15:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abramu akamwamini Mwenyezi-Mungu, naye Mwenyezi-Mungu akamkubali Abramu kuwa mwadilifu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Abramu akamwamini Mwenyezi Mungu, naye kwake jambo hili likahesabiwa kuwa haki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwamini Bwana, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abramu akamwamini Mwenyezi-Mungu, naye Mwenyezi-Mungu akamkubali Abramu kuwa mwadilifu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Abramu akamwamini BWANA, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Abramu akamwamini bwana, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abramu akamwamini Mwenyezi-Mungu, naye Mwenyezi-Mungu akamkubali Abramu kuwa mwadilifu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akamtegemea Bwana, kwa hiyo akamwazia kuwa mwenye wongofu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Abramu alimwamini Yawe, naye Yawe akamuhesabu kuwa mwenye haki.