Genesis 17:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ibrahimu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ibrahimu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Abrahamu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 99 alipotahiriwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aburahamu alikuwa mwenye miaka 99 alipokatwa nyama ya govi lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Ibrahimu alikuwa mwenye umri wa miaka tisini na kenda alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Abrahamu alikuwa na umri wa miaka makumi tisa na tisa alipotahiriwa.