Genesis 17:25 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na tatu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye mwanawe Isimaeli alikuwa mwenye miaka 13 alipokatwa nyama ya govi lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na Isimaeli mwana wake alikuwa na umri wa miaka kumi na mitatu alipotahiriwa.