Genesis 18:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nimemchagua yeye na wazawa wake. Yeye atawafunza wazawa wake kushika njia yangu: Wawe waadilifu na wenye kutenda mambo ya haki, nami nipate kuwatimizia ahadi zangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana nimemchagua yeye, ili awaongoze watoto wake na jamaa yake kufuata njia ya Mwenyezi Mungu, kwa kuwa waadilifu na kutenda haki, ili Mwenyezi Mungu atimize ahadi yake kwa Ibrahimu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana nimemjua ya kwamba atawaamuru wanawe, na nyumba yake baada yake waishike njia ya Bwana, wafanye haki na hukumu, ili kwamba Bwana naye akamtimizie Ibrahimu ahadi zake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nimemchagua yeye na wazawa wake. Yeye atawafunza wazawa wake kushika njia yangu: wawe waadilifu na wenye kutenda mambo ya haki, nami nipate kuwatimizia ahadi zangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana nimemchagua yeye, ili kwamba aongoze watoto wake na jamaa yake kumtii BWANA, wawe waadilifu na kutenda haki, ili BWANA atimize ahadi yake kwa Abrahamu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana nimemchagua yeye, ili awaongoze watoto wake na jamaa yake kufuata njia ya bwana, kwa kuwa waadilifu na kutenda haki, ili bwana atimize ahadi yake kwa Ibrahimu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana nimemchagua ili awaamuru wanawe na vizazi vyake baada yake wadumishe njia ya BWANA, kwa kuwa wenye haki na kweli, ili BWANA naye akamtimizie Abrahamu ahadi zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nimemchagua yeye na wazawa wake. Yeye atawafunza wazawa wake kushika njia yangu: Wawe waadilifu na wenye kutenda mambo ya haki, nami nipate kuwatimizia ahadi zangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani ninamjua, ya kuwa atawaagiza wanawe nao wa mlango wake wajao nyuma yake, waishike njia ya Bwana na kufanya yaongokayo nayo ya kweli, Bwana apate kumtimizia Aburahamu aliyomwagia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana nimemjua ya kwamba atawaamuru wanawe, na nyumba yake baada yake waishike njia ya BWANA, wafanye haki na hukumu, ili kwamba BWANA naye akamtimizie Ibrahimu ahadi zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nimemuchagua yeye na wazao wake. Yeye atawafundisha wazao wake kushika njia yangu kwa kutenda kwa haki na kwa kufuata sheria yangu, nami nitawatimizia ahadi zangu.”