Genesis 18:3 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Bwana zangu, kama mnanipenda tafadhali msinipite mimi mtumishi wenu ila mshinde kwangu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ibrahimu akasema, “Bwana wangu, ikiwa nimepata kibali machoni mwako, usimpite mtumishi wako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akasema, Bwana wangu, kama nimeona fadhili machoni pako nakuomba usinipite sasa mimi mtumwa wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Bwana zangu, kama mnanipenda tafadhali msinipite mimi mtumishi wenu ila mshinde kwangu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akasema, “Kama nimepata kibali machoni penu, ee bwana wangu, usimpite mtumishi wako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akasema, “Kama nimepata kibali machoni penu, ee bwana wangu, usimpite mtumishi wako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akasema, Bwana wangu, kama nimeona fadhili machoni pako nakuomba usinipite sasa mimi mtumwa wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Bwana zangu, kama mnanipenda tafadhali msinipite mimi mtumishi wenu ila mshinde kwangu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akawaambia: Bwana wangu, kama nimeona mapendeleo machoni pako, usipite penye mtumishi wako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akasema, Bwana wangu, kama nimeona fadhili machoni pako nakuomba usinipite sasa mimi mtumwa wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na kusema: “Bwana wangu, nikipata kukubaliwa mbele yako, tafazali usinipite mimi mutumishi wako lakini ushinde kwangu.