Genesis 19:31 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakiwa huko, binti mkubwa akamwambia dada yake, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanamume nchini wa kutuoa tupate watoto.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Siku moja binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali hapa atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi ya mahali pote duniani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakiwa huko, binti mkubwa akamwambia dada yake, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanamume nchini wa kutuoa tupate watoto.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Siku moja binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee na hakuna mwanaume mahali hapa atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi ya mahali pote duniani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Siku moja binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee na hakuna mwanaume mahali hapa atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi ya mahali pote duniani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mwanamume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakiwa huko, binti mkubwa akamwambia dada yake, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanamume nchini wa kutuoa tupate watoto.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha yule wa kwanza akamwambia mdogo wake: Baba yetu ni mzee, tena hakuna mtu mume katika nchi hii yote wa kuingia kwetu, kama ilivyo desturi po pote duniani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakiwa kule, binti mukubwa akamwambia dada yake: “Baba yetu ni muzee na hakuna mwanaume katika inchi wa kutuoa tupate watoto.