Genesis 2:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kulikuwa na mto huko Edeni uliotiririka maji na kuinywesha hiyo bustani; kutoka huko mto huo uligawanyika kuwa mito minne.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni; kuanzia hapo ukagawanyika kuwa mito minne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kulikuwa na mto huko Edeni uliotiririka maji na kuinywesha hiyo bustani; kutoka huko mto huo uligawanyika kuwa mito minne.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kulikuwa na mto huko Edeni uliotiririka maji na kuinywesha hiyo bustani; kutoka huko mto huo uligawanyika kuwa mito minne.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena kule Edeni kulitoka jito la kulinywesha hilo shamba, likajigawanya papo hapo shambani kuwa makono manne.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kulikuwa muto kule Edeni uliotiririka maji na kuinywesha ile bustani na kutoka kule muto ule uligawanyika kuwa mito mine.